Monday, March 14, 2016

ZIGO YAFIKISHA VIEWER MILION 4 ........




Nyimbo ya zigo remix ya AY na DIAMOND imefikisha viewer milioni 4 ndani ya siku 48 na ivyo kuweka rekodi ya kuwa nyimbo iliyofikisha viewer chache kwa siku chache kwa nyimbo za kitanzania.
 

ARSENAL AMFATA CHELSEA NA KUTEMESHWA KOMBE JUU.MAN U NA WEST HAM NGOMA BADO MBICHI FA.


 Mshambuliaji Giroud na ozil wakianza mpira katikati baada ya kufungwa goli la pili na watford katika mechi ya fa.

timu ya arsenal jana ilitolewa katika mashindano ya Emirates Fa kwa kufungwa magoli 2-1 na Watford katika uwanja wa emirates na kuivua ubingwa timu hiyo ya london.
wakati huo huo mahasimu wao na aseno walitoka sare ya 1-1 na west ham katika uwanja wa old traford n kufanya kusubili mechi ya pili itakayofanyika west hm.
 

PSG YAPIGA MTU 9 YATWAA NDOO YA LIGUE 1



Klabu ya Psg jana ilitangaza ubingwa wa ligi kuu ya ufaransa kwa kuichapa Troyes kwa mabao 9-0 na kuifanya Psg kutangazwa kuwa mabingwa kwa mwaka wa nne mfululizo.hivyo kubakiwa na mechi 8 mkononi lakina tayali ni mabingwa kwa kucheza michezo 25 na kushinda 24 na kufungwa mmoja dhidi ya lyon tu,

PSG-bingwa-2
PSG-bingwa
3227EA3300000578-0-image-a-87_1457910862508
IBRAHIMOVIC AKIONDOKA NA MPIRA WAKE JANA ALITUPIA 3

SAMATTA;MBONA WATAJUTA KUNIFAHAMU MAKIPA......




Samatta jana alizidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kugombea namba katika kikosi cha Genk baada ya kupachika goli moja kwenye manne walioyofunga jana dhidi ya KV Oostede katika ligu kuu ya nchini Belgium.Samata ilikuwa nd mechi yake ya kwanza kuwa katika first eleven y timu hiyo tangu alipojiunga mwanzoni mwa mwezi wa kwanza.

Sunday, March 13, 2016

BREAKING NEWZ; JPM ATEUA WAKUU WAPYA WA MIKOA.MAKONDA NAE YUMO NDANI;;;


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa 26 ya Tanzania Bara ambapo kati yao 13 ni wapya7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe.
Uteuzi huo umetangazwa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe leo tarehe 13 March, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam, wakuu wa Mikoa walioteuliwa ni kama ifuatavyo
  1. Paul Makonda – Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
  2. Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyunga – Mkuu wa Mkoa wa Geita.
  3. Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu – Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
  4. Meja Jenerali Mstaafu Raphael Muhuga – Mkuu wa Mkoa wa Katavi.
  5. Brigedia Jeneral Mstaafu Emmanuel Maganga – Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
  6. Godfrey Zambi – Mkuu wa Mkoa wa Lindi.
  7. Steven Kebwe – Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
  8. Kamishna Mstaafu wa Polisi Zelote Steven – Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
  9. Anna Malecela Kilango – Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.
  10. Mhandisi Methew Mtigumwe – Mkuu wa Mkoa wa Singida.
  11. Antony Mataka – Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.
  12. Aggrey Mwanri – Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
  13. Martine Shigela – Mkuu wa Mkoa wa Tanga.
  14. Jordan Mungire Rugimbana – Mkuu wa Mkoa Dodoma.
  15. Said Meck Sadick – Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.
  16. Magesa Mulongo – Mkuu wa Mkoa Mara.
  17. Amos Gabriel Makalla – Mkuu wa Mkoa Mbeya.
  18. John Vianey Mongella – Mkuu wa Mkoa Mwanza.
  19. Daudi Felix Ntibenda – Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
  20. Amina Juma Masenza – Mkuu wa Mkoa wa Iringa.
  21. Joel Nkaya Bendera – Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
  22. Halima Omary Dendegu – Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.
  23. Rehema Nchimbi – Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
  24. Mhandisi Evarist Ndikilo – Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
  25. Said Thabit Mwambungu – Mkuu wa Mkoa Ruvuma.
  26. Luteni Mstaafu Chiku Galawa – Mkuu wa Mkoa wa Songwe (Mkoa mpya).
Kwa mujibu wa Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU Gerson Msigwa, wakuu wote wa mikoa walioteuliwa wataapishwa Jumanne tarehe 15 March 2016 saa 3:30 Asubuhi Ikulu, Dar es salaam.

SOURCE; MILLARD AYO

AWADH JUMA;GOLI NI ZAWADI KWA MWANANGU KWENYE BIRTHDEI YAKE LEO.......




Kiungo wa simba Awadh juma 'maniche 'amepeleka goli lake kama zawadi kwa mwanaye ambaye leo ni siku yake kuzaliwa na familia yake nzima kwa ujumla.mchezaji huyo aliyeingia dakika ya 70 kuchukua nafasi ya majabv na kufanikiwa kuipa ushindi simba dakika ya 87 kwa shuti kali la nje ya 18 na kuifanya simba kujichiimbia kileleni zaid kw kufikisha point 54



MZEE WA HIRIZI AU POWERBANK UNAMJUAAAAA........

Hirizi ikiwa imetuna hiyo


wachezaji wa Prison wakimvuta ndaw kuwa avue powerbank yake inayochungulia.



picha kutoka maktaba ya salehjembe.


SIMBA ;AMA ZETU AMA ZAO PRISON........LAZIMA TUWAPIGE





Leo katika uwanja wa taifa ligi kuu ya vpl inaendelea katika mechi ya round ya pili kati ya Simba na Prison.katika mechi ya kwanza simnba ilifungwa goli 1-0 na maafande hao wa mbeya.sasa leo ndo marudiano ambao kila timu inataka ushindi Simba ambayo inataka kuongeza gap la point kati yake n Yanga na Azam.na Prison wanatak ushindi kuweza kufika katika  nafasi nzuri katika ligi kuu.inakuwa mechi ya kisasi na prison nd timu ya pili kuifunga Simba kwenye ligi kuu msimuu huu na yanga walioifunga simba mechi zote mbili.


sources;bin zubery na millard ayo

Saturday, March 12, 2016

NORWICH BWANA YAWAKAZIA MAN CITY ........ NGOMA TASA








VIKOSI Norwich (4-2-3-1): 
Ruddy 7; Martin 6.5, Bennett 7, Klose 7.5, Olsson 7; Howson 6.5, O'Neil 6; Redmond 6 (Dorrans 44 6), Hoolahan 6 (Mbokani 67), Jarvis 6; Bamford 6.5 (Jerome 67) 

Unused subs: Rudd (Gk), Bassong, Mulumbu, Pinto Booked: Bennett, O'Neil, Howson



Manchester City (4-4-2): 
Hart 6; Sagna 6 (Zabaleta 84), Kompany 6.5, Otamendi 6.5, Clichy 7; Navas 5 (Iheanacho 77), Fernando 6, Fernandinho 6.5, Silva 5.5; Aguero 7, Bony 6 (Sterling 58 6.5) 

Unused subs: Caballero (Gk), Zabaleta, Kolarov, Demichelis, Garcia, Iheanacho 
Booked: Otamendi


sources;salehjembe




AZAM YACHINJA SAUZI,,,, YANGA KAMA KAWA.....










Vilabu vya yanga na Azam vimefanya kweli baada ya ushindi wa timu zote kupata katika michezo yake iliyochezwa leo.Yanga ambao waliokuwa wanacheza klabu bingwa Afrika dhidi ya Apr imeshinda ugenini nchini Randwa kwa magoli 2-1.magoli ya Yanga yalipatikana kupitia kwa Juma abduly aliyefunga goli zuri kwa mpira wa faulo na lingine likafungwa na kamusoko aliyepata pasi nzuri toka kwa Juma Abduly na goli la kufutia machozi la APR limefungwa na Patrick Sibomana.wakati huohuo ndugu zao Azam waliokuwa wanacheza SOUTH Africa dhidi ya bidvestwits wameshinda goli 3 magoli ya Azam yamefungwa na Salum abubakary 'sureboy' ,shomari kapombe na john bocco 'adebayor'


kikosi ch azam.
picha kutoka maktaba                                                                                                                                    

RONALDOOOO OR MESSI MWENYEWE JIONEEE APO KABATINIII.....

KILA LA HERI YANGA NA AZAM.......



Vilabu vya yanga na Azam vya tanzania leo vyote vinashuka dimbani kupeperusha bendera ya taifa kimataifa.klabu ya yanga iliyoko jijini kigali Rwanda ikimenyana na APR kwenye kombe la klabu bingwa la Africa hatua ya pili ya michuano hiyo wakati hii ikiwa nd mechi yao ya kwanza.wakati wenzao wengine wa kimataifa Azam wanamenyana na bidvest ya South Africa leo hii katika kombe la shirikisho.kwa niaba ya wapenzi wote wa soka nchini tunawatakia ushindi timu zetu zilirudi n ushindi.

ZILIZOCHUKUA HEADLINE KWENYE MAGAZETI LEO....

20160312_07353120160312_07354320160312_07355820160312_07413920160312_07422420160312_07384520160312_07383420160312_07381920160312_07380820160312_07375520160312_07374320160312_07372220160312_07370820160312_07365120160312_07363520160312_073611


source ;millard ayo

Friday, March 11, 2016

PAUL SCHOLES ;MAN U HAIKUWA NA MIPANGO YOYOTE.....


kiungo mkongwe wa mashetani wekundu amesema timu yao hiyo ilikosa mipango yote yakuweza kushinda jana katika mechi ya europa na kupelekea kufungwa magoli 2 -0 na wahasimu wao liverpool kwa magoli ya daniel sturridge na firminho.Man united walikosa ubunifu wowote wakupenya ngome ya liverpool.tusubili mechi ijayo tuone itakuwaje y marudio ambayo man united inatakiwa kuifunga 3 ili isonge katika mashindano hayo.

Tuesday, March 08, 2016

MTN YAIPELEKA YANGA KILELENII......


club ya yanga leo imekwaa kileleni kwenye ligi kuu ya vodacom tanzania kwa kufikisha points 50 chini ya simba yenye 48 na azam yenye 47.Yanga leo ilishuka dimbani kupambana dhidi ya africans sports na kuichapa magoli 5-0.magoli ya yanga yaliwekwa kiminyani na tambwe aliyefunga magoli mawili na mengine ni Yondani, Msuva na Ngoma.ile kampa kampa tena kampa ngoma kampa tambwe.kampa  msuva goooo

MATA; IM SORRY MAN UNITED FANS........

 
Mchezaji wa man united Juan Mata amewaomba samahani mashabiki wote wa man united kwa kadi nyekundu aliyopewa katika mechi dhidi ya west bromich nakupelekea man united kufungwa mechi hiyo.Mata alitweet kwenye twitwer na kusema yapata mechi 500 cjawai kupewa kadi nyekundu na sasa ni mara ya kwanza nimepewa dhidi ya west bromich na kufungwa.Naombeni samahani sana mashabiki wa man united

KAMA UTANIPENDA YA DARASA YAMFIKISHA UKU.....


Msanii wa miondoko ya Hip hop wa nchini tanzania Darasa nyimbo yake imeaanza kupigwa katika vituo vya trace ya nchini Nigeria hiyo ni hatua nzuri kwa msanii kujipanua kimataifa kupigwa nyimbo yake na TraceUrban au Mtv.Director wa nyimbo hiyo Hanscana alipost picha katika mtandao wake wa instagraam ukionyesha kipande ch video na kutoa shouts kwa nguvu kwa trace na msanii huyo darasacmg.

Monday, March 07, 2016

MKUU WA WILAYA KUANZISHA MTAA WA BAA WILAYAN KWAKE.....

                                           
                                               MH. Paul makonda mkuu wa wilaya ya kinondoni

mkuu wa wilaya ya kinondoni mh paul makonda ametangaza mpango wa kutaka kuanzisha mtaa wenye baa tu katika wilaya ya kinondoni akisema mpango huo leo hii.Mpango huo amesema ni muendelezo wa ubunifu wa kupata mapato katika wilaya yake.hivyo utasaidia kupunguza baa kila kona katika maeneo hayo.na kupunguza baa kuwa nyingi katik wilaya hiyo unakuta baa nyuma ya msikiti au nyumba ya kanisa.

DIAMOND AINGIA STUDIO KUMALIZIA NYIMBO YAKE NA .............

                                             
                                        Diamond platnumz ,Shedy clever na Neyo

msanii wa bongo flavour diamond au baba tiffah ameingia studio kumalizia nyimbo yake na neyo msanii huyo almepost picha akiwa katika studio nchini marekani aliko kwa ajili ya show.Diamond amepost picha akiwa na msanii mwingine wa mziki na mwigizaji wa tamthilia ya empire Hakeem.nyimbo hiyo mwanzon ilirekodiwa nchini nairobi chini ya producer shedy clever na sasa diamond ameend kumalizia vitu vidogo katika nyimbo hiyo ...

ALIKIBA AWASHAURI SERIKALI........



Msanii wa kizazi kipya alikiba a.k.a kingkiba ameomba serikali ya tanzania inabidi iwashikilie vizuri wasanii wake na wawaez kufaidika na kazi zao wanazofanya za sanaaa.Alikiba alisema maneno hayo baada ya juzi usiku wasanii wawaili wa bongo movie kupata tuzo nchini nigeria ambao ni lulu na richie.
''endapo serikali ikituwezesha vizuri wasanii kwa kutuwekea mising bora ya kulinda kazi zetu za sanaa basi wasanii tutaitangaza vyema nchi yetu ya tanzania''.msanii huyo mkali wa vibao vya lupela, mwana na cinderela alitumbuiza katika tuzo na kukonga nyoyo za wageni wengi waliokuwepo usiku huo

VAN GAAL ALALAMIKAAA .....

 


kocha wa man united


kocha wa club ya man unied lvg amepeleka lawama zake kw mwamuzi wa mchezo wa jan Dean kwa kumtoa mata kwa kadi nyekumdu ambayo aikuwa ya haki.vile vile kocha huyo pia alimpelekea lawam kwa kiungo wake mshambuliaji antony martial kwa kucheza chini ya kiwango katika mechi ya jan baada ya kupiga shuti moja katika dakika 90.hivyo ndoto nyingi za mashabiki wa man united kuwa timu yao itafuzu kucheza uefa mwakani inafifia