Monday, March 14, 2016

SAMATTA;MBONA WATAJUTA KUNIFAHAMU MAKIPA......




Samatta jana alizidi kujiweka katika nafasi nzuri ya kugombea namba katika kikosi cha Genk baada ya kupachika goli moja kwenye manne walioyofunga jana dhidi ya KV Oostede katika ligu kuu ya nchini Belgium.Samata ilikuwa nd mechi yake ya kwanza kuwa katika first eleven y timu hiyo tangu alipojiunga mwanzoni mwa mwezi wa kwanza.

No comments:

Post a Comment