Saturday, March 12, 2016

NORWICH BWANA YAWAKAZIA MAN CITY ........ NGOMA TASA








VIKOSI Norwich (4-2-3-1): 
Ruddy 7; Martin 6.5, Bennett 7, Klose 7.5, Olsson 7; Howson 6.5, O'Neil 6; Redmond 6 (Dorrans 44 6), Hoolahan 6 (Mbokani 67), Jarvis 6; Bamford 6.5 (Jerome 67) 

Unused subs: Rudd (Gk), Bassong, Mulumbu, Pinto Booked: Bennett, O'Neil, Howson



Manchester City (4-4-2): 
Hart 6; Sagna 6 (Zabaleta 84), Kompany 6.5, Otamendi 6.5, Clichy 7; Navas 5 (Iheanacho 77), Fernando 6, Fernandinho 6.5, Silva 5.5; Aguero 7, Bony 6 (Sterling 58 6.5) 

Unused subs: Caballero (Gk), Zabaleta, Kolarov, Demichelis, Garcia, Iheanacho 
Booked: Otamendi


sources;salehjembe




AZAM YACHINJA SAUZI,,,, YANGA KAMA KAWA.....










Vilabu vya yanga na Azam vimefanya kweli baada ya ushindi wa timu zote kupata katika michezo yake iliyochezwa leo.Yanga ambao waliokuwa wanacheza klabu bingwa Afrika dhidi ya Apr imeshinda ugenini nchini Randwa kwa magoli 2-1.magoli ya Yanga yalipatikana kupitia kwa Juma abduly aliyefunga goli zuri kwa mpira wa faulo na lingine likafungwa na kamusoko aliyepata pasi nzuri toka kwa Juma Abduly na goli la kufutia machozi la APR limefungwa na Patrick Sibomana.wakati huohuo ndugu zao Azam waliokuwa wanacheza SOUTH Africa dhidi ya bidvestwits wameshinda goli 3 magoli ya Azam yamefungwa na Salum abubakary 'sureboy' ,shomari kapombe na john bocco 'adebayor'


kikosi ch azam.
picha kutoka maktaba                                                                                                                                    

RONALDOOOO OR MESSI MWENYEWE JIONEEE APO KABATINIII.....

KILA LA HERI YANGA NA AZAM.......



Vilabu vya yanga na Azam vya tanzania leo vyote vinashuka dimbani kupeperusha bendera ya taifa kimataifa.klabu ya yanga iliyoko jijini kigali Rwanda ikimenyana na APR kwenye kombe la klabu bingwa la Africa hatua ya pili ya michuano hiyo wakati hii ikiwa nd mechi yao ya kwanza.wakati wenzao wengine wa kimataifa Azam wanamenyana na bidvest ya South Africa leo hii katika kombe la shirikisho.kwa niaba ya wapenzi wote wa soka nchini tunawatakia ushindi timu zetu zilirudi n ushindi.

ZILIZOCHUKUA HEADLINE KWENYE MAGAZETI LEO....

20160312_07353120160312_07354320160312_07355820160312_07413920160312_07422420160312_07384520160312_07383420160312_07381920160312_07380820160312_07375520160312_07374320160312_07372220160312_07370820160312_07365120160312_07363520160312_073611


source ;millard ayo