1. Katika mechi zote 85 za Clasico zilizofanyika pale Camp Nou, Barca wamefanikiwa kushinda 49, Madrid wameshinda mara 17, na mara 19 matokeo yalikuwa sare.
2. Barça mpaka sasa hawajapoteza mchezo ambao walianza kufunga goli wakati Real Madrid wakipoteza mechi 1 katika mara 24 ambazo walianza kushinda.
3. Katika vikosi vyote viwili vya sasa vya timu zote mbili, Dani Alves amecheza mechi nyingi dhidi ya Madrid (mechi 26), mara 15 kati ya hizo amecheza akiwa na jezi ya Barca.


6. Ronaldo pia ndio mfungaji bora wa ligi, akiwa na magoli 28 – idadi kubwa kubwa Mchezaji Yoyote katika vikosi viwili.


9. Safu ya ulinzi, Barca imeruhusu magoli 28 na kupigiwa mashuti kati ya 304. Barca wana clean sheet 13 msimu huu wakati Madrid wana 10.
Golikipa wa Madrid Keylor Navas yupo kwenye top 5 ya magolikipa waliokoa michomo mingi msimu huu, michono (18). Adán (22, Betis), Andrés Fernández (21,Granada), Javi Varas (20, Las Palmas) na Guaita (19, Getafe) – Bravo amefanya save mara 10 tu.