Friday, May 20, 2016

TOP 10 MOST PLAYERS ARE FAMOUS IN THE WORLD

Ronaldo-ballon
10. Iker Casillas – Porto
Kipa huyu wa zamani wa Real Madrid, ambaye kwa sasa anacheza Porto ya Ureno, ameshinda takriban kila kitu katika maisha yake ya soka kwenye ngazi ya timu ya taifa ya (Hispania) na klabu pia.
Tangu aondoke Real Madrid na kuhamia Porto, Iker Casillas amegeuka kuwa kipa mbovu katika historia ya klabu hiyo kwa miaka takriban 15, akifungwa magoli 30 katik michezo 34 ya ligi, licha ya ubovu wake kwa sasa, Casillas amebaki kuwa moja ya wachezaji wenye umaarufu mkubwa ulimwenguni.
  1. Gareth Bale – Real Madrid
Mchezaji huyu wa zamani wa Tottenham bado anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji aliyenunuliwa kwa gharama kubwa zaidi duniani kutoka Spurs kwenda Real Madrid. Katika msimu wake wa kwanza, Bale aliingoza Madrid kuchukua ubingwa wa UEFA kwa mara ya kumi baada ya kuutafuta kwa miaka mingi, huku vile vile akiiongoza timu yake ya taifa ya Wales kwenda michuano ya EURO mwaka huu.
  1. Andres Iniesta – Barcelona
Iniesta ni moja ya kati ya wachezaji wenye nahati kubwa katika historia ya mpira duniani, ameshinda kila kitu akiwa na Barcelona na na Hispania, kizazi chake kimebeba ndoo ya La Liga kati ya 24 ambazo Barcelona wametwaa.
  1. James Rodriguez – Real Madrid
Si watu wengi walimjua Mcolombia huyu kabla ya kuwa mfungaji bora wa kombe la dunia mwaka 2014 huko nchini Brazil na na kuibuka kidedea kwa kunyakua tuzo ya goli bora la michuano ya hiyo dhidi ya Uruguay. Uhamisho wake kutoka Monaco kwenda Real Madrid ulizidi kumuongezea umaarufu.
  1. Mesut Ozil – Arsenal
Kiungo huyu wa Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani sio tu mchezaji mbunifu zaidi katika Ligi Kuu ya England lakini pia ni maarufu ulimwenguni kote. Katika msimu huu EPL, Ozil ametengeneza nafasi nyingi kuliko mchezaji yeyote na kuipeleka Arsenal nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi juu ya mahasimu wao wakubwa Tottenham Hotspurs.
  1. Luis Suarez – Barcelona
Mshambuliaji huyu wa Barcelona ama hakika ameonesha kwamba kwa sasa ndiye mshambuliaji wa kati bora zaidi ulimwenguni baada ya kufunga magoli 53 katika mchezo 47 kunako klabu hiyo simu huu, akiwazidi Lionel Messi na Neymar. Magoli 40 ya ligi msimu huu kwa staa huyo wa Uruguay yamethibitisha kwamba si tu ameibuka kidedea La Liga bali vile vile Ulaya kwa ujumla. Umaarufu wake kwenye mitandao ya kijamii umeongezeka kwa 20% katika wiki chache zilizopita baada ya kuonesha kiwango bora msimu huu.
  1. Zlatan Ibrahimovic – Paris Saint Germain
Huyu ni mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden. Anasifika kwa ubora wa hali ya juu awapo uwanjani kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusumbua mabeki, amejaaliwa mwili uliojengeka kimchezo, kimo stahiki kwa mshambuliaji na uwezo mkubwa wa kufumani nyavu.
Ibrahimovic ameshinda mara nne mfululizo kombe la Ligi Kuu Ufaransa maarufu kama Ligue 1, amekuwa mfungaji bora wa ligi hiyo kwa misimu mitatu mfululizo tangu ajiunge na Paris Saint Germain mwaka 2012. Amejiwekea historia kubwa klabuni hapo na kwa sasa anahesabika kama legend kwa sasa baada ya kutanabaisha kuondoka msimu huu.
Anasifika kwa nukuu (quotes) zake za kusisimua na amekuwa moja ya washambuliaji waliocheza kwenye vilabu vingi vikubwa duniani ikiwemo Barcelona.
  1. Lionel Messi – Barcelona
Wachezaji wengi,mashabiki na wachambuzi wa soka wanamtazama Lionel Messi kama mchezaji bora bota ulimwenguni na kusadiki kama ndiye mchezaji bora wa muda wote duniani.
Nyota huyo wa Argentina ni mchezaji pekee katika historia ya soka duniani kuwahi kutokea baada ya kushinda tuzo ya mchezajo bora wa dunia (Ballon d’Or) mara tano, huku miaka minne akishinda mfululizo.
Mpaka sasa katika maisha yake ya soka, Messi amecheza kweny klabu ya Barcelona pekee na kuipa mafanikio makubwa kwa kipndi cha muongo mmoja.
 
  1. Neymar – Barcelona
Mbrazil huyu mwenye kipaji cha aina yake, ana uwezo mkubwa sana hasa kuwanyanyasa mabeki wa timu pinzani bila ya kusahau uwezo wake mkubwa wa kufunga. ameshika nafasi ya tatu nyuma ya Messi na Ronaldo katika tuzo ya Ballon d’Or January mwaka huu.
  1. Cristiano Ronaldo – Real Madrid
Cristiano Ronaldo ni mfungaji wa muda wote wa klabu ya Real Madrid, anasifika kwa utanashati wake ndani na nje ya uwanja. Mchezaji huyu wa zamani wa Manchester United bila shaka ni moja ya wachezaji hodari linapofika suala upachikaji mabao. Amevunja rekodi nyingine msimu huu baada ya kufunga zaidi ya mabao 50 kwa misimu sita mfululizo.
Ndiye mchezaji mwenye mashabiki wengi zaid kwenye mitandao ya kijamii akiwa na zaidi ya mashabiki milioni 211.7 Facebook, Twitter na Instagram. Ameidizi mpaka klabu yake.

ALIKIBA APATA SHAVU KUTOKA JARIDA LA SOURCES LA NCHINI U,S.A


Kwa miaka mingi majarida ya The Source na XXL yamekuwa mhimili mkubwa wa muziki wa hip hop nchini Marekani. Majarida hayo yanaheshimika mno na makongwe kwenye muziki wa nchi hiyo.
image
Jarida la The Source limeipa kipaumbele habari ya Alikiba kusaini deal la kimataifa na label kongwe ya Sony Music ambapo limedai ni msanii wa pili kusaini deal ya ukubwa huo kwa Afrika baada ya Davido.
image
Hiyo inathibitisha ama kutoa hofu ya mashabiki wa muziki kuwa deal hiyo haina tofauti na zile zilizofeli za wasanii kama Keko na Rose Mhando ambao wao mkataba ulikuwa ni kwa Afrika pekee.
Kwa mujibu wa meneja wa Alikiba, Seven Mosha, Sony Music itawekeza nguvu, fedha, nyenzo na utaalam kuhakikisha Alikiba anakuwa msanii wa kimataifa.
Hiyo inamaanisha itagharamia kila sumuni itakayotumika kurekodi muziki ikiwemo kutumia waandishi wa muziki mahiri duniani, kulipia video zake, kumuunganisha na vyombo vya habari vya kimataifa, kusimamia utengenezaji wa album na kuisambaza duniani kote na vingine.
Kwa sasa Kiba hatotumia tena hela yake kufanya muziki.
Pia Sony watahusika katika kumkuza zaidi Alikiba kimuziki pamoja na kufanya utafiti wa kina kumtengenezea njia ya mafanikio.
Deal la Alikiba na Sony Music limepokelewa kwa furaha kubwa na wapenzi wa muziki nchini.

Manchester United legend Paul Scholes renews war of words with Louis van Gaal: 'The FA Cup wasn't a priority… they were in the Champions League'

Paul Scholes has criticised Louis van Gaal again on the eve of the FA Cup final, claiming Manchester United have fallen short of their goals this season, even if they lift the trophy at Wembley. 
United face Crystal Palace on Saturday aiming to clinch a record-equalling 12th FA Cup, but Van Gaal has come in for criticism this season from former players, pundits and supporters for both his playing style and results in the Barclays Premier League.
Scholes' often harsh attacks on television have led the charge, with Van Gaal claiming last week that the club legend would be held responsible if he gets the sack at Old Trafford this summer.
Paul Scholes has again criticised Louis van Gaal on the eve of the FA Cup final claiming it wasn't a priority
Paul Scholes has again criticised Louis van Gaal on the eve of the FA Cup final claiming it wasn't a priority
Van Gaal has accused club legends of trying to get him the sack this season with Scholes leading the charge
Van Gaal has accused club legends of trying to get him the sack this season with Scholes leading the charge
The defiant Dutchman still has one year remaining on his contract, but Scholes  - having described the team at times this term as a 'shambles' and a 'disaster' - believes even reaching the FA Cup final is a sign of how far the club has fallen. 
'It [the drought] has been disappointing as we obviously want to be in the FA Cup final as it's a big day,' three-time FA Cup winner Scholes told Manchester Evening
'It's long overdue but I also think it hasn't really been a priority. We all know it's a massive major competition but was it the priority over the Champions League or the Premier League?
'We always seem to go after those two which you can probably understand and a lot of the times we would go out of the FA Cup as our team was missing players that would needed to be rested for the big Champions League and Premier League game
United supporters expressed dissatisfaction towards the Dutchman after the final home game of the season
United supporters expressed dissatisfaction towards the Dutchman after the final home game of the season
United failed to get out of their group in the Champions League and a fifth-placed finish in the league means the club will not return to Europe's elite club competition until the 2017-18 season at the earliest. 
United are favourites to end their three-year wait for silverware by overcoming Alan Pardew's side at Wembley on Saturday, but Scholes has warned his former club of complacency against dangerous opponents. 
'I think people are probably assuming United are going to win it but it's going to be a tough game,' he added.
'Crystal Palace are a decent side and I think they can cause any teams problems, so I think it will be tight.'

'I'm not a dirty player' insists Manchester United star Fellaini as he returns for FA Cup final at Wembley

Marouane Fellaini has hit back at his critics ahead of this weekend's FA Cup final by insisting his reputation as a 'dirty player' is unjustified.
The Belgium international could return to Manchester United's starting line-up on Saturday following the completion of his three-match ban for elbowing Leicester's Robert Huth. 
Sportsmail's Jamie Carragher said Fellaini should never play in the Premier League again following his latest sign of unnecessary aggression, however the 28-year-old insists he was sticking up for himself after Huth pulled his hair.
Man United midfielder Marouane Fellaini (centre) was suspended for three games after elbowing Robert Huth
Man United midfielder Marouane Fellaini (centre) was suspended for three games after elbowing Robert Huth
Fellaini reacted after Huth pulled Fellaini's hair during the Premier League encounter at Old Trafford
Fellaini reacted after Huth pulled Fellaini's hair during the Premier League encounter at Old Trafford
The Belgium international scored in United's win over former side Everton at the FA Cup semi-final stage
The Belgium international scored in United's win over former side Everton at the FA Cup semi-final stage

MAROUANE FELLAINI'S PREMIER LEAGUE STATS THIS SEASON

Appearances: 18
Starts: 12
Minutes played: 1,068
Goals scored: 1
Assists: 0
Fouls made: 33
Fouls won: 13
Yellow cards: 2
Red cards: 0 
Huth also missed the final few games of the Premier League campaign after the Football Association found him guilty of enticing Fellaini.
Fellaini, speaking to the Daily Mirror, said: 'Everyone has their opinion. If I had to listen to all the opinions about me, my head would explode. So I just focus on my job, the manager, my team-mates, the club.
'I know when I do bad and good. I’m not a dirty player. People can think whatever they want.
'I never injured a player. Never. I just react. Maybe sometimes I am impulsive, I say that. It’s my character. But when someone pulls your hair, it’s normal to react.
'For this situation I don’t deserve to be punished. Huth grabbed my hair, he made pain on my neck, so I just react.' 
Louis van Gaal has hinted he could recall Fellaini to his starting line-up due to Crystal Palace's superior aerial ability. 


Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3600447/Manchester-United-midfielder-Marouane-Fellaini-insists-m-not-dirty-player.html#ixzz49CxHmdQv
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook