Monday, March 07, 2016

MKUU WA WILAYA KUANZISHA MTAA WA BAA WILAYAN KWAKE.....

                                           
                                               MH. Paul makonda mkuu wa wilaya ya kinondoni

mkuu wa wilaya ya kinondoni mh paul makonda ametangaza mpango wa kutaka kuanzisha mtaa wenye baa tu katika wilaya ya kinondoni akisema mpango huo leo hii.Mpango huo amesema ni muendelezo wa ubunifu wa kupata mapato katika wilaya yake.hivyo utasaidia kupunguza baa kila kona katika maeneo hayo.na kupunguza baa kuwa nyingi katik wilaya hiyo unakuta baa nyuma ya msikiti au nyumba ya kanisa.

DIAMOND AINGIA STUDIO KUMALIZIA NYIMBO YAKE NA .............

                                             
                                        Diamond platnumz ,Shedy clever na Neyo

msanii wa bongo flavour diamond au baba tiffah ameingia studio kumalizia nyimbo yake na neyo msanii huyo almepost picha akiwa katika studio nchini marekani aliko kwa ajili ya show.Diamond amepost picha akiwa na msanii mwingine wa mziki na mwigizaji wa tamthilia ya empire Hakeem.nyimbo hiyo mwanzon ilirekodiwa nchini nairobi chini ya producer shedy clever na sasa diamond ameend kumalizia vitu vidogo katika nyimbo hiyo ...

ALIKIBA AWASHAURI SERIKALI........



Msanii wa kizazi kipya alikiba a.k.a kingkiba ameomba serikali ya tanzania inabidi iwashikilie vizuri wasanii wake na wawaez kufaidika na kazi zao wanazofanya za sanaaa.Alikiba alisema maneno hayo baada ya juzi usiku wasanii wawaili wa bongo movie kupata tuzo nchini nigeria ambao ni lulu na richie.
''endapo serikali ikituwezesha vizuri wasanii kwa kutuwekea mising bora ya kulinda kazi zetu za sanaa basi wasanii tutaitangaza vyema nchi yetu ya tanzania''.msanii huyo mkali wa vibao vya lupela, mwana na cinderela alitumbuiza katika tuzo na kukonga nyoyo za wageni wengi waliokuwepo usiku huo

VAN GAAL ALALAMIKAAA .....

 


kocha wa man united


kocha wa club ya man unied lvg amepeleka lawama zake kw mwamuzi wa mchezo wa jan Dean kwa kumtoa mata kwa kadi nyekumdu ambayo aikuwa ya haki.vile vile kocha huyo pia alimpelekea lawam kwa kiungo wake mshambuliaji antony martial kwa kucheza chini ya kiwango katika mechi ya jan baada ya kupiga shuti moja katika dakika 90.hivyo ndoto nyingi za mashabiki wa man united kuwa timu yao itafuzu kucheza uefa mwakani inafifia