Monday, March 14, 2016

PSG YAPIGA MTU 9 YATWAA NDOO YA LIGUE 1



Klabu ya Psg jana ilitangaza ubingwa wa ligi kuu ya ufaransa kwa kuichapa Troyes kwa mabao 9-0 na kuifanya Psg kutangazwa kuwa mabingwa kwa mwaka wa nne mfululizo.hivyo kubakiwa na mechi 8 mkononi lakina tayali ni mabingwa kwa kucheza michezo 25 na kushinda 24 na kufungwa mmoja dhidi ya lyon tu,

PSG-bingwa-2
PSG-bingwa
3227EA3300000578-0-image-a-87_1457910862508
IBRAHIMOVIC AKIONDOKA NA MPIRA WAKE JANA ALITUPIA 3

No comments:

Post a Comment