Klabu ya Psg jana ilitangaza ubingwa wa ligi kuu ya ufaransa kwa kuichapa Troyes kwa mabao 9-0 na kuifanya Psg kutangazwa kuwa mabingwa kwa mwaka wa nne mfululizo.hivyo kubakiwa na mechi 8 mkononi lakina tayali ni mabingwa kwa kucheza michezo 25 na kushinda 24 na kufungwa mmoja dhidi ya lyon tu,

![]() |
IBRAHIMOVIC AKIONDOKA NA MPIRA WAKE JANA ALITUPIA 3 |
No comments:
Post a Comment