Mshambuliaji Giroud na ozil wakianza mpira katikati baada ya kufungwa goli la pili na watford katika mechi ya fa.
timu ya arsenal jana ilitolewa katika mashindano ya Emirates Fa kwa kufungwa magoli 2-1 na Watford katika uwanja wa emirates na kuivua ubingwa timu hiyo ya london.
wakati huo huo mahasimu wao na aseno walitoka sare ya 1-1 na west ham katika uwanja wa old traford n kufanya kusubili mechi ya pili itakayofanyika west hm.

No comments:
Post a Comment