Kiungo wa simba Awadh juma 'maniche 'amepeleka goli lake kama zawadi kwa mwanaye ambaye leo ni siku yake kuzaliwa na familia yake nzima kwa ujumla.mchezaji huyo aliyeingia dakika ya 70 kuchukua nafasi ya majabv na kufanikiwa kuipa ushindi simba dakika ya 87 kwa shuti kali la nje ya 18 na kuifanya simba kujichiimbia kileleni zaid kw kufikisha point 54
No comments:
Post a Comment