Tuesday, March 08, 2016

MATA; IM SORRY MAN UNITED FANS........

 
Mchezaji wa man united Juan Mata amewaomba samahani mashabiki wote wa man united kwa kadi nyekundu aliyopewa katika mechi dhidi ya west bromich nakupelekea man united kufungwa mechi hiyo.Mata alitweet kwenye twitwer na kusema yapata mechi 500 cjawai kupewa kadi nyekundu na sasa ni mara ya kwanza nimepewa dhidi ya west bromich na kufungwa.Naombeni samahani sana mashabiki wa man united

No comments:

Post a Comment