Timu ya wolfsburg imewashanga timu ya real madrid kwa kuwafunga goli 2-0 nchin ujerumani nakupelea mechi kuwa ngumu kwa real madrid kwa mechi ya marudiano inatakiwa washinde goli 3 kwa 0 ili wafuzu.jana Ronaldo alikabwa san na mabeki wa wolfsburg awakumuachia nafasi
No comments:
Post a Comment