Goli ya ibrahimovic na rabiot ayakuweza kutoka na ushindi kwa timu ya Psg nakupelekea draw baada ya man city kuchomoa goli hilo kupitia kwa kevin de bruyne na fernando.wakati huo kipa joe hart alikuwa shujaa wa mchezo baada ya kuokoa mchomo wa penati wa ibrahimovic.
No comments:
Post a Comment