Thursday, April 07, 2016

BONDIA BLACKWELL AZINDUKA BAADA YA SIKU KADHAA.....




Bondia Nick Blackwell amezinduka baada ya kuwa hajitambui kwa kipindi cha zaidi ya siku tatu baada ya kuanguka ulingoni.


Blackwell alianguka katika pambano lake la uzito wa middleweight dhidi ya Chris Eubank Jr ambalo alipoteza.



SOURCES; MILLARD AYO

No comments:

Post a Comment