BonyJimy
Home of Exclusive sports and entertainment news
Thursday, April 07, 2016
BONDIA BLACKWELL AZINDUKA BAADA YA SIKU KADHAA.....
Bondia Nick Blackwell amezinduka baada ya kuwa hajitambui kwa kipindi cha zaidi ya siku tatu baada ya kuanguka ulingoni.
Blackwell alianguka katika pambano lake la uzito wa middleweight dhidi ya Chris Eubank Jr ambalo alipoteza.
SOURCES; MILLARD AYO
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment