Thursday, April 07, 2016

MANENO YA NAY KWA DIAMOND PLATNUM BAAADA YA KUTOBOA PUA.......


mmmm
Post ya Diamond
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nay wa Mitego aliwahi kumkosoa Chid Benz katika wimbo wake wa Nasema nao kuhusu uamuzi wa kutoboa pua, ila picha ya Diamond Platnumz aliipost katika account yake ya instagram na kuandika naytrueboy Baba Tiffah you look mmmwaaah😍😍@diamondplatnumzumenogaaaaa mwananguuuuuuuuuu..!! Hukoseagi yaniiii😎😎.! Mapovuuuuuuuuu sasaaaaa😂😂😂

nai
post ya nay wa mitego

No comments:

Post a Comment