
Post ya Diamond
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Nay wa Mitego aliwahi kumkosoa Chid Benz katika wimbo wake wa “Nasema nao“ kuhusu uamuzi wa kutoboa pua, ila picha ya Diamond Platnumz aliipost katika account yake ya instagram na kuandika “naytrueboy Baba Tiffah you look mmmwaaah
, @diamondplatnumzumenogaaaaa mwananguuuuuuuuuu..!! Hukoseagi yaniiii
.! Mapovuuuuuuuuu sasaaaaa









![]() |
post ya nay wa mitego |
No comments:
Post a Comment