Tuesday, April 26, 2016

MANENO YA BLUE DHIDI YA SUGU BAADA YA KUCHUKULIWA NYIMBO YAKE NA SUGU




  • mrbluebyser1988Ndugu zangu nipeni ushauri kwa hili niliona nikae kimya ila limeniuma sana kwa kweli ..!! SUGU namuheshimu km kaka yangu kimuziki na kiumri pia ..sasa kuna nyimbo nilimshirikisha inaitwa "Freedom" tulifanya pale kwa makochali na hiyo ndo picha ya ushahidi na nyimbo ipo youtube kwa wasioisikia..sasa kinachonishangaza leo kuona ameitoa verse yangu na kuweka verse zake mbili na kaishoot mpaka video na nyimbo imekuwa yake tena bila kunitaarifu mimi mwenyewe au ridhaa yoyote kutoka kwangu je hii ni haki kweli??? Maana mtu ukiongea unaonekana unatafuta kiki au sijui nn...mi imeniuma kwa kweli jamani je mnanishauri nini ndugu zangu....????

maneno hayo ameandika kwenye page yake ya instagram ya blue

No comments:

Post a Comment