Tuesday, April 26, 2016

GOOD KISS IN PITCH [ONUOHA VS RAKELS]



Beki Nedum Onuoha wa QPR (kushoto) akipambana na Deniss Rakels wa Reading katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza England kwenye Uwanja wa Loftus Road, juzi. Mechi hiyo iliisha kwa sare ya mabao 1-1. Hapa kila mmoja alikuwa akiwania mpira, akajikuta amempa mwenzake “busu”.

sources;salehjembe

No comments:

Post a Comment