PFA TEAM OF THE YEAR ,OZIL AYUPO
Kikosi hicho ambacho kimetajwa na Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) hakijataja jina la Ozil kama wengi alivyokuwa wakimtegemea huku chipukizi wengine wakitajwa kuwa ndiyo wanaounda kikosi hicho.
Baadhi ya chipukizi waliotajwa katika safu ya kiungo ya kikosi hico ni Dimitri Payet, N'Golo Kante, Dele Alli na Riyad Mahrez.
No comments:
Post a Comment