SANCHEZ AIPAISHA ARSENAL
Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia na beki wa kushoto, Nacho Monreal baada ya kuifungia timu yake mabao yote katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates
No comments:
Post a Comment