Friday, April 22, 2016

SANCHEZ AIPAISHA ARSENAL

Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia na beki wa kushoto, Nacho Monreal baada ya kuifungia timu yake mabao yote katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates

No comments:

Post a Comment