BonyJimy
Home of Exclusive sports and entertainment news
Saturday, April 02, 2016
MESSI NA WATOTO WA OBAMA TENA......
Messi awatumia jezi watoto wa Obama baada ya kukosa kuonana nchini Argentina watoto hao Sasha na Malia walipotaka kuonana nae.Messi ameamua kuwatumia jezi ya Argentina yenye majina yao na kusign katika jezi hiyo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment