Tomas Pina (kushoto) wa Villarreal akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Philippe Coutinho wa Liverpool katika Nusu Fainali ya kwanza ya Europa League usiku huu Uwanja wa El Madrigal, Villarreal nchini Hispania. Villarreal imeshinda 1-0, bao pekee la Adrian Lopez dakika ya 92
No comments:
Post a Comment