Monday, April 25, 2016

LEICESTER BADO POINT 4 KUWA MABINGWA.ARSENAL YABANWA KOO

Mshambuliaji wa Leicester City, Leonardo Ulloa (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Shinji Okazaki (katikati) baada ya kufunga bao la tatu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Ulloa alifunga mabao mawili, wakati mengine yaamefungwa na Riyad Mahrez na Marc Albrighton


WAkat huo huo Arsenal wametoa draw 0 -0 na sundeland mchezo uliopigwa leo

No comments:

Post a Comment