Monday, April 18, 2016

BARCELONA WAFUNGWA TENA NOU CAMP NA VALENCIA,MSN CHALIIII

Siqueira's cross was turned into his own net by Rakitic as Barcelona fell behind for the fourth game in a row at the Nou Camp
Wakali watatu wa Barcelona, Luis Suarez, Neymar Junior na Lionel Messi walijikuta  wakijishangaa baada ya kufungwa 2-1 na Valencia usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa La Liga Uwanja Camp Nou, huo ukiwa mchezo wa tatu mfululizo wanafungwa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 13. Mabao ya Valencia yalifungwa na Ivan Rakitic aliyejifunga wakati akijaribu kuokoa krosi ya Guilherme Siquiera dakika ya 26 na Santi Mina dakika ya 45, wakati la Bara lilifungwa na Messi dakika ya 63


Barcelona (4-3-3): Bravo, Roberto, Pique, Mascherano, Alba, Rakitic, Busquets, Iniesta (c), Messi, Suarez, Neymar.Subs not used: ter Stegen, Douglas, Dani Alves, Bartra, Munir, Adriano, VidalBooked: Suarez, Pique, NeymarValencia (4-5-1): Diego Alves, Barragan, Mustafi, Abdennour, Siqueira, Rodrigo (Gaya 87), Parejo, Javi Fuego (c), Perez (Cancelo 74), Gomes, Mina (Alcacer 59). Subs not used: Santos, Negredo, Danilo, RyanGoals: Rakitic own goal 26, Santi Mina 45Booked: Barragan, Parejo, Gomes



It was the fourth consecutive game that Barcelona fell behind, with the side only coming back to win on one of those occasions
Neymar was subdued in the first-half as Valencia stood strong in the face of 13 shots on goal from the hosts in the opening 45 minutes
Mina is mobbed by his team-mates after keeping his composure to flash his shot across Bravo and into the bottom corner after 45 minutes
Luis Enrique wore a concerned expression in the first-half as his side showed signs of losing further daylight in the La Liga title race

Barcelona trio Suarez, Neymar and Messi again struggled to show signs of the class that punctuated their season until only recently

No comments:

Post a Comment