Monday, April 18, 2016

ARSENAL YATOA SARE EMIRATES,LEICESTER CITY CHUPUCHUPU,LIVERPOOL WATAMBA

Sanchez celebrates with Danny Welbeck (left), who provided the assist for his goal, as well as the rest of his Arsenal team-mates
mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates,kati ya arsenal na cryster palace. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 45 kabla ya Yannick Bolasie kuwasawazishia wageni dakika ya 81
Palace manager Pardew is all smiles as he congratulates Bolasie on the goal which takes his side nine points above the drop zone
Leonardo Ulloa wa Leicester City akishangilia bao lake la dakika 95 kwa penalti katika sare ya 2-2 na West Ham United jioni ya leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Jamie Vardy, wakati ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll na Aaron Cresswel.
Mshambuliaji Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Daniel Sturridge wakati la Bournemouth limefungwa na Joshua King

No comments:

Post a Comment