Sunday, May 01, 2016

BARCELONA,ATLETICO,REAL MADRID ZOTE ZASHINDA,UBINGWA BADO KAZI

Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50


Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale (katikati) akienda hewani dhidi ya mabeki wa Real Sociedad kuifungia bao pekee timu yake katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Anoeta

source;bin zubery

No comments:

Post a Comment