timu ya man city imeshinda magoli 2 kw 1 dhid ya west bromich na kuipumulia arsenal iliyotoa draw jana dhidi ya west ham kwenye mechi iliyoishaa 3 3 na kufanya chelsea kufikisha points 57 na Arsenal 59 wakat huo huo chelsea wamefungwa 1 dhidi ya swansea city
No comments:
Post a Comment