Thursday, April 21, 2016

MAN UNITED LIVERPOOL ZASHINDA EPL.....

Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney (kulia), akiwania mpira dhidi ya Lee Chung-yong wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Old Trafford. United imeshinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Damien Delaney aliyejifunga dakika ya nne na Matteo Darmian dak55.


Mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi (kulia) akiwa juu kuwania mpira dhidi ya beki wa Everton, Ramiro Funes Mori aliyetolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 50 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 4-0, mabao yake yakifungwa na Origi dakika ya 43, M. Sakho dakika ya 45 na ushei, Daniel Sturridge dakika ya 61 na Philippe Coutinho dakika ya 76

KATI YA HAWA MASTRIKER WA ENGLAND YUPI ANAENDA EURO FRANCE

MAGNIFICENT7_2809770al

Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson anaelekea kuwa na wakati mgumu kuchagua washambuliaji watakaoisaidia timu hiyo kwenye michuano ya Uero mwaka huu nchini Ufaransa.
MAGNIFICENT7_2809770al
Mpaka sasa Hodgson ana chaguo la wachezaji saba ambapo anatakiwa achague wachezaji wanne au watano kati yao.
Hawa ni washambuliaji wanaomuumiza kichwa Hodgson kufanya uchaguzi yupi atakayeshiriki michuano ya Uero 2016.
Harry Kane
2E3EB91900000578-0-image-a-82_1447074705638
Kane ndiyo mchezaji anayeongoza kwa ufungaji kwenye ligi ya Uingereza akiwa ameshafunga magoli 24. Mpaka sasa anaonekana kuingia kwenye orodha ya wachezaji wanaoweza wateuliwa na Hodgson kwenye timu ya Uingereza kushiriki michuano ya Uero.
Games 34
Games started 34
Mins played 3,008
Assists 1
Goals 24
Chances created 41
Goals/game 0.71
Win rate 56%
Jamie Vardy
Leicester-Citys-English-striker-Jamie-Vardy-celebrates
Nyota huyu amesaidia Leicester City kushika usukani wa kuongoza ligi ya Uingereza kwa pointi 73. Vardy ameshafanikiwa kufunga magoli 22 akishika nafasi ya pili nyuma ya Harry Kane wa Tottenham.
Games 34
Games started 34
Mins played 2,959
Assists 6
Goals 22
Chances created 47
Goals/game 0.65
Win rate 62%
Wayne Rooney
wayne555_2809708al
Rooney ndiye nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza na tayari anashikilia rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote kwenye timu ya taifa akifunga magoli 51. Japo kwa msimu huu anaonekana kutofanya vizuri sana kwenye timu yake ya Manchester United na majeraha yaliyomuandama ambayo yalimfanya kukaa nje ya uwanja kwa muda kidogo.
Games 23
Games started 22
Mins played 1,972
Assists 4
Goals 7
Chances created 34
Goals/game 0.30
Win rate 44%
Daniel Sturridge
JS44222832
Japo kipindi cha nyuma alionekana kutofanya vizuri kwenye timu ya Liverpool, Sturridge kwa sasa ameonekana kuwa ni mmoja wa washambuliaji muhimu kwenye timu hiyo. Kwa muda mrefu hakuwepo kwenye timu ya taifa ya Uingereza kwa sababu ya kupata majeraha yaliyomfanya aweze kukaa nje wa muda mrefu.
Games 10
Games started 8
Mins played 673
Assists 1
Goals 6
Chances created 4
Goals/game 0.60
Win rate 50%
Danny Welbeck
Welbeck
Welbeck ni mmoja kati ya washambuliaji wenye uwezo mkubwa wa kurudi nyuma na kukaba wakati timu inashambuliwa. Japo amekuwa hayupo fiti kwa muda mrefu kutokana na kuwa nje ya uwanja kwa majeraha ya muda mrefu, kwa sasa Welbeck ameonekana kurudi na kuanza kufanya vizuri ingawa ameonekana hapati nafasi sana kwenye timu ya Arsenal.
Games 8
Games started 6
Mins played 501
Assists 2
Goals 3
Chances created 5
Goals/game 0.38
Win rate 38%
Andy Carroll
Carroll
Kwa sasa Carroll ameonekana kuanza kurudi kwenye makali yake kama kipindi yupo timu ya Newcastle United kabla ya kuhamia Liverpool na kiwango chake kupotea. Hatrick yake kwenye mechi ya West Ham United dhidi ya Arsenal inamfanya Hodgson ajiulize mara mbili na kufikiria kuchanga karata yake vizuri.
Games 22
Games started 8
Mins played 1,010
Assists 1
Goals 8
Chances created 8
Goals/game 0.36
Win rate 41%
Marcus Rashford
Manchester-United-v-Midtjylland-Europa-League-Round-of-32-Second-Leg
Rashford amekuwa ni mmoja kati ya washambuliaji chipukizi wenye uwezo mkubwa wa kufunga magoli mazuri. Mpaka sasa Rashford ana umri wa miaka 18 ameonekana kuwa ni mmoja kati ya wachezaji tegemezi wa timu hiyo akiwa tayari kashafunga magoli 8 kwenye mashindano yote aliyoichezea timu ya Manchester United.
Games 7
Games started 7
Mins played 546
Assists1
Goals 4
Chances created 2
Goals/game 0.57
Win rate 71%

BEN POL AWA BABA KIMYA KIMYA

Ben

MSAnii wa kizazi kipya ben pol amepata mtoto wa kiume na kuwa baba lakini mwenyewe akuwai kupost kwenye mitandao ya kijamii lakini imekuja kuvuja baada ya mama wa mtoto huyo miss Tanzania no 2 Latifa mohamed kupost picha insta akiwa n mtoto huyo'
hongera bwana benard paul

MANUEL NEUR AFANYA HILI KWA BAYERN MUNICH


Habari nzuri kwa mashabiki wa Bayern Munich, Manuel Neuer ni kuwa kipa wao wamesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia timu hiyo mpaka mwaka 2021.

Neuer, 30, alijiunga klabuni hapo akitoka Schalke kwa euro milioni 30 mwaka 2011 na tangu hapo ameshinda mataji matatu ya Bundesliga na Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2013.

Kipa huyo wa timu ya taifa ya Ujerumani alikuwa akihusishwa kuwaniwa na Manchester City, klabu ambayo kocha wake wa sasa, Pep Guardiola atatua msimu ujao.




Inaelezwa kuwa mkataba huo wa sasa utamwezesha kuwa mmoja wa wachezaji wanaolipwa vizuri kikosini hapo akiwa sawa na mshambuliaji Thomas Muller ambaye analipwa euro milioni 15 kwa mwaka.

Mkataba uliokuwepo kabla ya huo wa sasa wa Neuer ulikuwa ukimalizika mwaka 2019.

Wednesday, April 20, 2016

MSN NA BBC KATIKA VITA YA MAGOLI ULAYA

Safu za ushambuliaji za ligi kubwa barani ulaya zinaendelea kuchuana vikali kuelekea mwishoni mwa msimu huu wa 2015/16.
  La Liga safu za ushambuliaji za Real Madrid na FC Barcelona mchuano unaendelea kushika hatamu, wakati BBC – Benzema, Bale na Cristiano Ronaldo wakiwa wamefunga magoli 69 kwenye ligi pekee yake, MSN – Messi, Suarez na Neymar wamefunga magoli 70.
Ronaldo anaongoza kwa kufunga katika chati ya wafungaji bora akiwa na magoli 31 katika mechi 33 akiwa anaitafuta Pichichi yake ya 4 mfululizo, Benzema akiwa na magoli 22 katika mechi 23, Bale amefanikiwa kufunga magoli 16.
BBC wote walifunga katika mchezo dhidi ya Getafe jumamosi hii, wakati goli la Messi la jumapili vs Valencia likawafanya MSN kutimiza magoli 70 kwenye La Liga msimu. Messi akifunga magoli 23 katika mechi 28, Suarez akifunga magoli 36 katika mechi 30 huku Neymar akiwa na magoli 21.
  Safu ya ushambuliaji ya Benfica ya washambuliaji wawili Jonas na Kostas Mitroglou wamefunga magoli 48.
   
 Kwenye Ligue 1, combination ya Zlatan Ibrahimovic na Edinson Cavan wao wamefunga magoli 47 katika ligi hiyo na timu yao ya Paris Saint Germain.
   
 Na Bundesliga, wachezaji wa Bayern Munich Thomas Muller na Robert Lewandowski wamefunga pamoja magoli 46.

KUN AGUERO 100 GOALS IN EPL


AGUERO RAIA WA ARGENTINA ANA MABAO YAKE ALIYOFUNGA AKIWA NA MA CITY YA  ENGLAND

AGUERO AFIKISHA MAGOLI 100 LAKIN ASHINDWA KUIPA USHINDI MAN CITY YATOA DRAW

Newcastle 1-1 Manchester City: Sergio Aguero reaches 100 Premier League goals, but Vurnon
NEWCASTLE 1-1 MANCHESTER CITY - MARTIN SAMUEL AT ST JAMES' PARK: Contrary to popular belief, Mike Ashley has quite a long list of the mistakes he knows he has made at Newcastle. To it, he can add another. Waiting a month too long to engage the services of Rafael Benitez. With another few weeks in charge of this time, Newcastle might just have got away with it. If they get away with it, Benitez is likely to stay. And if Benitez stays, Newcastle will have a far better manager than their recent performances or league position merits. This was Newcastle as they should have been all season. Lively, fast, high energy, a team capable of inspiring, and being inspired, by the crowd.

Tuesday, April 19, 2016

KIKOSI BORA CHA FABREGAS EPL 2015/2016 NI LEICESTER NA SPURS



“Siyo kazi rahisi kuchagua hasa katika safu ya mlinda mlango, Kasper Schmeichel amefanya kazi nzuri na anastahili kuwemo katika kikosi hiki lakini De Gea ameokoa pointi nyingi za Man Utd. Mungu mwenyewe anajua ni pointi ngapi,” alisema Fabregas.

Kikosi kizima cha Fabregas kinasomeka hivi:


1. David de Gea
2. Hector Bellerin
3. Toby Alderweireld
4. Robert Huth
5. Ryan Bertrand
6. Riyad Mahrez
7. N'Golo Kante
8. Dele Alli
9. Dimitri Payet
10. Jamie Vardy
11. Harry Kane