Sunday, April 17, 2016
BALE,BENZEMA,RONALDO [BBC] WAPIGA MTU 5
Real Madrid imeisulubu Getafe kwa bao 5-1 kwenye mchezo wa La Liga na kuanza kuwapumulia mgongoni vinara wa ligi hiyo Barcelona.
Karim Benzema alianza kufungua gharika hiyo kwa kumalizia krosi iliyochongwa na James Rodriguez.
Isco akaongeza bao la pili kabla ya kwenda mapumziko akitumia vema pande la Benzema.
Gareth Bale aliongeza bao la tatu dakika tano tangu kuanza kwa kipindi cha pili baada ya kukimbia na mpira kabla ya kuujaza wauni, kwa mara nyingine shukrani kwa pasi ya mwisho kutoka kwa Benzema.
Dakika ya 83 Getafe walipata bao kupitia kwa mshambuliaji Pablo Sarabia lakini bado halikutosha kuwapunguza kasi vijana wa Zizou kwani James Rodriguez aliongeza bao linguine la nne.
Cristiano Ronaldo akamaliza shughuli kwa kufunga bao rahisi na kukamilisha idadi ya magoli matano huku washabuliaji watatu wa timu hiyo Benzema, Bale na Cristiano (BBC) wote wakiwa wametumbukia kambani.
YANGA YARUDI KILELENI VPL

KLabu ya yanga imerudi killeni baada ya kuifunga mtibwa sugar jana katika dimba la uwanja wa taifa.Yanga walishinda goli 1 -0 lililofungwa na simon msuva katika dakika ya 52 na kufanya kiporo chao kiende sawa na kufikisha points 59 nyuma ya simba yenye points 57 na ya tatu Azam 55.wakati huo huo ligi hiyo inaendelea leo kwa klabu ya Simba kucheza na toto african uwanja wa taifa.
AGUERO APIGA HATTRICK CHELSEA STAMFORD BRIDGE

CHELSEA (4-2-3-1): Courtois 7; Azpilicueta 6, Cahill 6, Ivanovic 6, Rahman 6.5; Fabregas 6.5, Mikel 6 (Begovic 79mins); Willian 6 (Traore 70, 6), Loftus-Cheek 7.5, Pedro 7.5 (Kenedy 70, 6.5); Costa 7
Subs not used: Begovic, Miazga, Matic, Pato, Falcao
Booked: Azpilicueta, Mikel
Sent off: Courtois
MANCHESTER CITY (4-2-3-1): Hart 7; Zabaleta 5.5 (Sagna 67, 6), Otamendi 6, Mangala 7, Kolarov 6.5; Toure 8, Fernandinho 7.5; Navas 6, De Bruyne 8.5, Nasri 6.5 (Delph 75, 6); Aguero 9 (Iheanacho 85)
Subs not used: Caballero, Demichelis, Fernando, Bony
Scorer: Aguero 33, 54, 80 (pen)
Booked: Zabaleta, Otamendi, Nasri
Referee: Mike Dean
Attendance: 41,212
Man of the match: Sergio Aguero


RASHFORD AISHUSHA DARAJA ASTON VILLA

MANCHESTER UNITED (4-2-3-1):
De Gea 6; Valencia 7.5, Smalling 6.5, Blind 6, Rojo 6; Schneiderlin 6,
Fellaini 6.5; Mata 6 (Fosu-Mensah 89), Rooney 6.5 (Lingard 67 6),
Depay 7; Rashford 7 (Martial 76 6)
Subs not used: Young, Romero, McNair, Darmian
Scorer: Rashford 32
ASTON VILLA (4-4-1-1):
Guzan 6; Hutton 5.5, Clark 6, Lescott 5.5, Cissokho 5.5; Sinclair 5.5,
Bacuna 6, Westwood 6, Richardson 6 (Gestede 82 6.5); Gueye 6; Ayew 6.5
Subs not used: Richards, Sanchez, Gil, Bunn, Lyden, Grealish
Booked: Richardson




Subscribe to:
Posts (Atom)






